Wajumbe wa ulinzi wa amani wa ANZAC, walio tumia gitaa badala ya bunduki

Vikozi vya ulinzi wa New Zealand

Wanajeshi wakulinda amani wa New Zealand wafanya maonesho yakitamaduni yaki Maori katika kisiwa cha Bougainville. Source: Getty Images

Haijulikani sana kuwa, kikosi chakulinda amani kilitumia gitaa na utamaduni badala ya silaha, katika kisiwa cha pasifiki kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.


Hadithi ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, vilivyo isha kwa amani baada ya miaka 10 nchini Bougainville, hadithi hiyo ina elezwa kupitia makala ya video kwa jina la Soldiers Without Guns, ama kwa tafsiri wanajeshi ambao hawana bunduki.

Kisiwa cha Bougainville kitafanya kura ya maoni, kuamua kama watajipa uhuru kutoka Papua New Guinea, tarehe 17 Oktoba mwaka huu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service