Angella Okutoyi atengeza historia katika Australian Open

Angella Okutoyi ashinda seti katika mechi ya vijana ya Australian Open mjini Melbourne, Australia

Angella Okutoyi ashinda seti katika mechi ya vijana ya Australian Open mjini Melbourne, Australia Source: Getty

Licha ya umaarufu wa mchezo wa Tennis duniani, ni nadra kuona mchezaji mwenye asili ya Afrika Mashariki, akishiriki katika michuano mikubwa ya mchezo wa tennis duniani.


Angella Okutoyi binti mwenye asili ya Kenya, alibadili hali hiyo katika viwanja vya tennis mjini Melbourne, Victoria ambako, alipeperusha bendera ya Kenya na Afrika Mashariki kwa fahari kubwa, nakuwaacha wapinzani wake pabaya.

Angella Okutoyi katika mechi yake dhidi ya Federica Urgesi wa Italy
Angella Okutoyi katika mechi yake dhidi ya Federica Urgesi wa Italy Source: Getty
Alipozungumza na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Angella alitueleza jinsi mjomba wake alivyo mshawishi nakumfunza kucheza tennis akiwa na umri wa miaka minne, mipango yake yakuwa mchezaji wakulipwa wa tennis, pamoja na maono yake kwa siku za usoni katika tennis.

Angella alishinda mechi mbili nakupoteza mechi moja katika michuano ya wachezaji chipukizi. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Angella Okutoyi atengeza historia katika Australian Open | SBS Swahili