Baba ya shabiki wa mchezo wa AFL aliye mrushia ndizi mchezaji waki Aboriginal Eddie Betts uwanjani, ame tupilia mbali madai kuwa tendo hilo lilikuwa laubaguzi wa rangi.
Tendo hilo tata lime lime zua mwito kwa mashabiki wa timu hiyo wapewe mafunzo ya uelewa wa tamaduni zaki asili na viongozi wa AFL wachunguze uwezekano waku punguza alama za timu husika iwapo matendo ya mashabiki wayo haya ambatani na maadili ya mchezo huo.
Share
