Kombe la ANSA: Jamii zote za alikwa kushiriki

Tuzo za tolewa kwa washindi, baada ya fainali ya kombe la ANSA 2018 mjini Blacktown, NSW, Australia Source: SBS Swahili
Wachezaji wa timu ya soka ya DR Congo wa NSW wamekuwa marafiki wa ukame wa ushindi, katika kombe la ANSA kwa muda mrefu. SBS Swahili ilihudhuria fainali yakusisimua ya kombe hilo, ambako tulizungumza na mashabiki pamoja na waandalizi wa kombe hilo. .
Share




