Je shule zinawaandaa wanafunzi kukabiliana na dunia itakayo ongozwa na ujuzi wa STEM?

Wanafunzi wa shule ya Barker College, wafanyia roboti waliyo buni majaribio

Wanafunzi wa shule ya Barker College, wafanyia roboti waliyo buni majaribio Source: SBS

Wakati teknolojia zakidigitali zina endelea kujumuishwa katika maisha ya kila siku, imeripotiwa kuwa kazi moja kati ya tatu zinaweza potezwa kufikia mwaka wa 2030.


Ila watalaam katika sekta hiyo wame sema baadhi ya ajira hizo zita badilishwa na nafasi mpya zitakazo ibuka katika sekta husika.

Kwa hiyo shule za Australia zina fanya maandalizi gani, kuwatayarisha wanafunzi kwa ajira za siku za usoni?

Wiki ya sayansi nchini Australia ita anza tarehe 11 Agosti, na itakamilika tarehe 19 Agosti 2018.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service