Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je shule zinawaandaa wanafunzi kukabiliana na dunia itakayo ongozwa na ujuzi wa STEM?

Wanafunzi wa shule ya Barker College, wafanyia roboti waliyo buni majaribio

Wanafunzi wa shule ya Barker College, wafanyia roboti waliyo buni majaribio Source: SBS

Wakati teknolojia zakidigitali zina endelea kujumuishwa katika maisha ya kila siku, imeripotiwa kuwa kazi moja kati ya tatu zinaweza potezwa kufikia mwaka wa 2030.


Published

By Michelle Rimmer

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Wakati teknolojia zakidigitali zina endelea kujumuishwa katika maisha ya kila siku, imeripotiwa kuwa kazi moja kati ya tatu zinaweza potezwa kufikia mwaka wa 2030.


Ila watalaam katika sekta hiyo wame sema baadhi ya ajira hizo zita badilishwa na nafasi mpya zitakazo ibuka katika sekta husika.

Kwa hiyo shule za Australia zina fanya maandalizi gani, kuwatayarisha wanafunzi kwa ajira za siku za usoni?

Wiki ya sayansi nchini Australia ita anza tarehe 11 Agosti, na itakamilika tarehe 19 Agosti 2018.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now