Naibu waziri wa watoto na familia azungumzia mpango wa kuwapa wakimbizi wenye ujuzi vibali

Naibu waziri wa watoto na familia Dkt David Gillispie akiwa bungeni

Naibu waziri wa watoto na familia Dkt David Gillispie akiwa bungeni Source: AAP

Naibu waziri wa watoto na familia amesema anazingatia mradi mpya, ambao utawasaidia wakimbizi wenye ujuzi kupata hati za kazi hizo nchini Australia.


Maoni ya David Gillespie yamejiri wakati idadi ya wabunge wa serikali ya mseto, wanadokeza mageuzi yafanywe kwa viza za kazi ili ziwazuie wahamiaji na wakimbizi waliofadhiliwa na waajiri katika maeneo ya kanda, kutoondoka katika maeneo hayo nakuhamia katika maeneo ya miji baadae.

Miji kadhaa kandani imefanikiwa kuendeleza kazi katika viwanda na sekta kadhaa, kupitia wafanyakazi kutoka mazingira ya ukimbizi.

Kwa mfano, zaidi ya idadi ya wakimbizi mia moja kutoka Myanmar wanafanya kazi katika mji wa Nhill mkoani Victoria, wengi wao wanafanya kazi katika viwanda vya uzalishaji wa kuku.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service