Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Naibu waziri wa watoto na familia azungumzia mpango wa kuwapa wakimbizi wenye ujuzi vibali

Naibu waziri wa watoto na familia Dkt David Gillispie akiwa bungeni

Naibu waziri wa watoto na familia Dkt David Gillispie akiwa bungeni Source: AAP

Naibu waziri wa watoto na familia amesema anazingatia mradi mpya, ambao utawasaidia wakimbizi wenye ujuzi kupata hati za kazi hizo nchini Australia.


Published

Updated

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Naibu waziri wa watoto na familia amesema anazingatia mradi mpya, ambao utawasaidia wakimbizi wenye ujuzi kupata hati za kazi hizo nchini Australia.


Maoni ya David Gillespie yamejiri wakati idadi ya wabunge wa serikali ya mseto, wanadokeza mageuzi yafanywe kwa viza za kazi ili ziwazuie wahamiaji na wakimbizi waliofadhiliwa na waajiri katika maeneo ya kanda, kutoondoka katika maeneo hayo nakuhamia katika maeneo ya miji baadae.

Miji kadhaa kandani imefanikiwa kuendeleza kazi katika viwanda na sekta kadhaa, kupitia wafanyakazi kutoka mazingira ya ukimbizi.

Kwa mfano, zaidi ya idadi ya wakimbizi mia moja kutoka Myanmar wanafanya kazi katika mji wa Nhill mkoani Victoria, wengi wao wanafanya kazi katika viwanda vya uzalishaji wa kuku.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now