Idadi ya kampuni nchini Australia ambazo zime ripoti kuwa zime athiriwa na shambulizi la mtandaoni ime fika kumi na mbili, wakati mamlaka inaendelea kuchunguza chanzo cha shambulizi hilo ambalo lime pewa jina la kimombo la 'WannaCry' ransomware.
Ina aminiwa Australia ili pona madhara makubwa ya shambulizi ambalo, lime zima mifumo ya kompyuta za hospitali, mifumo ya reli na shule barani Ulaya.
Hata hivyo wataalam wame waonya wanao tumia kompyuta za Windows waendelee kuwa makini.
Share





