Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kampuni 12 za Australia, za athiriwa kwa shambulio la ransomware

Mfano wa shambulio la ransomware, nchini Taiwan

Mfano wa shambulio la ransomware, nchini Taiwan Source: Picha: AAP

Idadi ya kampuni nchini Australia ambazo zime ripoti kuwa zime athiriwa na shambulizi la mtandaoni ime fika kumi na mbili, wakati mamlaka inaendelea kuchunguza chanzo cha shambulizi hilo ambalo lime pewa jina la kimombo la 'WannaCry' ransomware.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Idadi ya kampuni nchini Australia ambazo zime ripoti kuwa zime athiriwa na shambulizi la mtandaoni ime fika kumi na mbili, wakati mamlaka inaendelea kuchunguza chanzo cha shambulizi hilo ambalo lime pewa jina la kimombo la 'WannaCry' ransomware.


Ina aminiwa Australia ili pona madhara makubwa ya shambulizi ambalo, lime zima mifumo ya kompyuta za hospitali, mifumo ya reli na shule barani Ulaya.

Hata hivyo wataalam wame waonya wanao tumia kompyuta za Windows waendelee kuwa makini.

 

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now