Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Athari za kuporomoka kwa uchumi

Economy

Nchi nyingi kwa sasa zinapitia wakati mgumu wa majanga ya Corona ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangia kuporomoka kwa uchumi.


Published

Updated

By Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Nchi nyingi kwa sasa zinapitia wakati mgumu wa majanga ya Corona ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangia kuporomoka kwa uchumi.


SBS ilizungumza na mtaalamu wa masuala ya fedha Bwana Juma Rashid ambaye anatufafanulia zaidi nini maana ya kuporomoka kwa uchumi na jinsi gani nchi au mwananchi mmoja mmoja atakavyoathirka.

Waweza kushiriki nasi kwa kugonga hapa kusikiliza na pia kutoa maoni yako.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now