Athari za kuporomoka kwa uchumi

Economy

Source: Getty Images/Monica Bertolazzi

Nchi nyingi kwa sasa zinapitia wakati mgumu wa majanga ya Corona ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangia kuporomoka kwa uchumi.


SBS ilizungumza na mtaalamu wa masuala ya fedha Bwana Juma Rashid ambaye anatufafanulia zaidi nini maana ya kuporomoka kwa uchumi na jinsi gani nchi au mwananchi mmoja mmoja atakavyoathirka.

Waweza kushiriki nasi kwa kugonga hapa kusikiliza na pia kutoa maoni yako.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Athari za kuporomoka kwa uchumi | SBS Swahili