Athiei na Akram "Ushindi wa Morocco ni ushindi wa bara zima la Afrika"

Football/ 2022 FIFA World Cup / Morocco vs Spain

Morocco's players celebrate after winning the World Cup, Knockout stage against Spain at Education City Stadium, Al Rayyan city, Qatar on Dec.6, 2022. Morocco earned a 3-0 penalty win over Spain after it finished 0-0 after extra time and Morocco has made history with a World Cup victory over Spain. ( The Yomiuri Shimbun via AP Images ) Credit: Keita Iijima/AP

Historia inaendelea kuandikwa nchini Qatar, ambako timu ya mpira wa miguu yawanaume ya Morocco inaendelea kuwaacha wachambuzi na wadau wa soko vinywa wazi.


Baada ya miongo ya ukame na ukosefu wa timu kutoka bara la Afrika kuto shiriki katika nusu fainali ya kombe la dunia, hatimae Morocco imemalizia bara la Afrika kiu hicho baada yakushinda mechi yao ya robo fainali dhidi ya timu ya Ureno katika robo fainali.

Ushindi huo ume ipa Morocco fursa kuwania nafasi katika fainali ya kombe la dunia, ila itabidi wakabiliane na mtihani mkali kutoka bingwa watetezi Ufaransa katika nusu fainali ya kombe hilo.

Bw Athiei na Akram, nima nahodha wa timu za Sudan Kusini na Jamhuri ya Congo, timu zao hucheza katika kombe la Afrika mjini Sydney.

Wawili hao walieleza SBS Swahili hisia zao wakati wa mechi ya robo fainali kati ya Ureno na Morocco pamoja na matarajio yao kwa mechi ya nusu fainali dhidi ya Ufaransa. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service