Athiei "Timu nyingi zinaogopa kucheza na Sudan Kusini"

Athiei, nahodha wa Sudan Kusini

Athiei, nahodha wa Sudan Kusini Source: SBS Swahili

Kombe la mataifa ya jamii zawana Afrika wanao ishi jijini Sydney, linatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa mwaka huu kuliko miaka ya nyuma.


Moja ya mataifa yanayo shiriki katika kombe hilo ni Sudan Kusini, ambayo inavijana wengi wenye vipaji na moyo wakujituma katika mechi.

Nahodha wa Sudan Kusini Athiei, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS wakati wa sherehe ya uzinduzi wa michuano hiyo kuhusu maandilizi ya timu yake, na alizungumzia pia hoja kuhusu 'hofu' ambayo timu nyingi hukabili wanapo ratibiwa kucheza dhidi yao.

Michuano hiyo itaanza tarehe 7 Novemba 2020, katika uwanja wa Progress, South Granville, New South wales.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service