Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Athiei "Timu nyingi zinaogopa kucheza na Sudan Kusini"

Athiei, nahodha wa Sudan Kusini

Athiei, nahodha wa Sudan Kusini Source: SBS Swahili

Kombe la mataifa ya jamii zawana Afrika wanao ishi jijini Sydney, linatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa mwaka huu kuliko miaka ya nyuma.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kombe la mataifa ya jamii zawana Afrika wanao ishi jijini Sydney, linatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa mwaka huu kuliko miaka ya nyuma.


Moja ya mataifa yanayo shiriki katika kombe hilo ni Sudan Kusini, ambayo inavijana wengi wenye vipaji na moyo wakujituma katika mechi.

Nahodha wa Sudan Kusini Athiei, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS wakati wa sherehe ya uzinduzi wa michuano hiyo kuhusu maandilizi ya timu yake, na alizungumzia pia hoja kuhusu 'hofu' ambayo timu nyingi hukabili wanapo ratibiwa kucheza dhidi yao.

Michuano hiyo itaanza tarehe 7 Novemba 2020, katika uwanja wa Progress, South Granville, New South wales.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now