Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Australia yaomba msamaha kwa waathirika wa unyanyasaji wa kijinsia utotoni

Prime Minister Scott Morrison hugs a child-abuse victim

Prime Minister Scott Morrison hugs a child-abuse victim Source: AAP

Waziri Mkuu Scott Morrison ameomba msamaha wa kitaifa kwa maelfu ya waathirika wa unyanyasaji wa kijinsia nchini kote. Mamia ya waathirika walikuwa katika mji wa Canberra kusikia hotuba, ambapo Bwana Morrison aliwaambia waathirika sasa wameaminiwa na taasisi zimeshindwa. Frank Mtao anakuletea taarifa zaidi...


Published

Updated

By Peggy Giakoumelos

Presented by Frank Mtao

Source: SBS




Share this with family and friends


Waziri Mkuu Scott Morrison ameomba msamaha wa kitaifa kwa maelfu ya waathirika wa unyanyasaji wa kijinsia nchini kote. Mamia ya waathirika walikuwa katika mji wa Canberra kusikia hotuba, ambapo Bwana Morrison aliwaambia waathirika sasa wameaminiwa na taasisi zimeshindwa. Frank Mtao anakuletea taarifa zaidi...



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now