Australia yawafukuza nchini wanadiplomasia wawili wa Urusi kwa sababu ya shambulizi nchini Uingereza

Malcolm Turnbull, (kushoto), na Julie Bishop (kulia)

Malcolm Turnbull, (kushoto), na Julie Bishop (kulia) Source: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesema shambulizi la hivi karibuni la silaha ya kemikali dhidi ya jasusi wa zamani wa urusi na bintiye nchini Uingereza kuwa ni tendo la aibu.


Australia imejibu shambulizi hilo kwaku wafukuza wanadiplomasia wawili wa Urusi. Serikali imesema ina amini wawili hao ni majasusi ambao hawaja sajiliwa. Hatua hiyo ni simbamba na hatua zilizo chukuliwa na mataifa ya magharibi kama jibu kwa shambulizi hilo.

Hata hivyo, mamlaka ya Urusi ime endelea kusisitiza kuwa haina hatia kuhusiana na swala shambulizi hilo.

Menna Rawlings ndiye balozi wa uingereza nchini Australia, amekaribisha tangazo hilo.

Peter Jennings ni mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa kutoka shirika la Australian Strategic Policy Institute, Bw Jennings amesema hakuna shaka Urusi itajibu hatua hizo, kwaku wafukuza baadhi yama balozi wa Australia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service