Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Australia yawafukuza nchini wanadiplomasia wawili wa Urusi kwa sababu ya shambulizi nchini Uingereza

Malcolm Turnbull, (kushoto), na Julie Bishop (kulia)

Malcolm Turnbull, (kushoto), na Julie Bishop (kulia) Source: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesema shambulizi la hivi karibuni la silaha ya kemikali dhidi ya jasusi wa zamani wa urusi na bintiye nchini Uingereza kuwa ni tendo la aibu.


Published

By Peggy Giakoumelos

Presented by SBS Swahili, Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Waziri Mkuu Malcolm Turnbull amesema shambulizi la hivi karibuni la silaha ya kemikali dhidi ya jasusi wa zamani wa urusi na bintiye nchini Uingereza kuwa ni tendo la aibu.


Australia imejibu shambulizi hilo kwaku wafukuza wanadiplomasia wawili wa Urusi. Serikali imesema ina amini wawili hao ni majasusi ambao hawaja sajiliwa. Hatua hiyo ni simbamba na hatua zilizo chukuliwa na mataifa ya magharibi kama jibu kwa shambulizi hilo.

Hata hivyo, mamlaka ya Urusi ime endelea kusisitiza kuwa haina hatia kuhusiana na swala shambulizi hilo.

Menna Rawlings ndiye balozi wa uingereza nchini Australia, amekaribisha tangazo hilo.

Peter Jennings ni mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa kutoka shirika la Australian Strategic Policy Institute, Bw Jennings amesema hakuna shaka Urusi itajibu hatua hizo, kwaku wafukuza baadhi yama balozi wa Australia.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now