Kuanzia leo, vikosi maalum katika jeshi la polisi la NSW, wata tumia bunduki aina ya Colt M-4's, kama sehemu muhimu ya mbinu zaku linda jamii.
Australia yakabiliana na tisho za ugaidi

Kamisha wa polisi wa NSW Mick Fuller akagua kikosi chaku kabiliana na ugaidi Source: AAP
Australia ina jiandaa kukabiliana na tisho za ugaidi pamoja na uhalifu kwaku tumia bunduki nzito nzito.
Share




