Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Australia yakabiliana na tisho za ugaidi

Kamisha wa polisi wa NSW Mick Fuller akagua kikosi chaku kabiliana na ugaidi

Kamisha wa polisi wa NSW Mick Fuller akagua kikosi chaku kabiliana na ugaidi Source: AAP

Australia ina jiandaa kukabiliana na tisho za ugaidi pamoja na uhalifu kwaku tumia bunduki nzito nzito.


Published

Updated

By Aileen Phillips

Presented by SBS Swahili

Source: SBS




Share this with family and friends


Australia ina jiandaa kukabiliana na tisho za ugaidi pamoja na uhalifu kwaku tumia bunduki nzito nzito.


Kuanzia leo, vikosi maalum katika jeshi la polisi la NSW, wata tumia bunduki aina ya Colt M-4's, kama sehemu muhimu ya mbinu zaku linda jamii.

Hatua hiyo ime jiri baada yaku wasilishwa kwa sheria mapema mwaka huu, ambazo zili waongezea mamlaka polisi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now