Australia yakabiliana na tisho za ugaidi

Kamisha wa polisi wa NSW Mick Fuller akagua kikosi chaku kabiliana na ugaidi

Kamisha wa polisi wa NSW Mick Fuller akagua kikosi chaku kabiliana na ugaidi Source: AAP

Australia ina jiandaa kukabiliana na tisho za ugaidi pamoja na uhalifu kwaku tumia bunduki nzito nzito.


Kuanzia leo, vikosi maalum katika jeshi la polisi la NSW, wata tumia bunduki aina ya Colt M-4's, kama sehemu muhimu ya mbinu zaku linda jamii.

Hatua hiyo ime jiri baada yaku wasilishwa kwa sheria mapema mwaka huu, ambazo zili waongezea mamlaka polisi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service