Waziri Mkuu Anthony Albanese ameweka wazi maneno yatakayo tumiwa katika swali ambalo wa Australia wata ulizwa, katika kura ya maoni kwa kutambuliwa kwa watu wa asili wa katika katiba.
Watu wataulizwa, "Una unga mkono mageuzi kwa katiba yanayo toa sauti kwa wa Aboriginal nawatu wa Torres Strait Islanders?"