Australia yachukua hatua kuelekea kutoa Sauti ya wa Australia wa kwanza bungeni

Prime Minister Anthony Albanese and Yothu Yindi Foundation Chair Galarrwuy Yunupingu speak during the Garma Festival in northeast Arnhem Land, Northern Territory, Friday, July 29, 2022.

The push to get an Indigenous voice in federal parliament is a key theme at this weekends Garma Festival in northeast Arnhem Land. Source: AAP

Waziri Mkuu Anthony Albanese amependekeza mageuzi kwa katiba, wakati Australia inachukua hatua zakihistoria zakuwa na sauti ya watu wa asili bungeni.


Waziri Mkuu Anthony Albanese ameweka wazi maneno yatakayo tumiwa katika swali ambalo wa Australia wata ulizwa, katika kura ya maoni kwa kutambuliwa kwa watu wa asili wa katika katiba.

Watu wataulizwa, "Una unga mkono mageuzi kwa katiba yanayo toa sauti kwa wa Aboriginal nawatu wa Torres Strait Islanders?"

Kura ya maoni ikiendelea mbele, itakuwa ya kwanza katika zaidi ya miaka 20. Ni kura za maoni 8 tu kati ya 44 ambazo zimefanikiwa nchini Australia tangu mwaka wa 1901.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service