Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Watoto wenye ulemavu wa ngozi Tanzania wapata msaada Australia

Mariam Maneneka akiwahamasisha wageni waalikwa wajiunge naye kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa ngozi Tanzania
Mariam Maneneka akiwahamasisha wageni waalikwa wajiunge naye kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa ngozi Tanzania Source: Picha: Victorious Little Survivors

SBS Swahili ilizungumza na Mariam Maneneka, mwanzilishi wa shirika la msaada Victorious Little Survivors, lenye makao makuu mjini Brisbane, Australia


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


SBS Swahili ilizungumza na Mariam Maneneka, mwanzilishi wa shirika la msaada Victorious Little Survivors, lenye makao makuu mjini Brisbane, Australia


Shirika hilo jipya lita toa misaada tofauti kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi nchini Tanzania.

Wengi wa watoto hao hutengwa na jamii zao, wengi wao wakihofia usalama wao, kwa sababu ya imani kuwa viungo vya miili yao vina weza tumiwa kutengeza tiba za kienyeji.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now