Wanajeshi wa Australia ambao hawakuwa na asili ya ulaya, walio shiriki katika vita vya kwanza vya dunia

Balbir Singh Banwait atazama hati za marehemu babake

Balbir Singh Banwait atazama hati za marehemu babake Source: SBS

Sheria zilizo wekwa mwanzo wa mwaka wa 1900, ilifanya iwe vigumu kwa wa Australia ambao hawana asili ya ulaya, kusajiliwa kuhudumu katika vita vya kwanza vya dunia.


Ila vikwazo hivyo, haviku wazuia mamia ya watu kutoka asili tofauti, kushiriki katika viwanja vya vita.

Jumamosi tarehe 10 Novemba, kumbukumbu mpya ilizinduliwa kwa heshima ya huduma yao.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service