Sheria zilizo wekwa mwanzo wa mwaka wa 1900, ilifanya iwe vigumu kwa wa Australia ambao hawana asili ya ulaya, kusajiliwa kuhudumu katika vita vya kwanza vya dunia.
Ila vikwazo hivyo, haviku wazuia mamia ya watu kutoka asili tofauti, kushiriki katika viwanja vya vita.
Jumamosi tarehe 10 Novemba, kumbukumbu mpya ilizinduliwa kwa heshima ya huduma yao.
Share






