Baada ya miongo ya uongozi wa CCM, je upinzani uta tengeza historia Tanzania?

Wakaazi wa Zanzibar wapiga kura za uchaguzi mkuu

Wakaazi wa Zanzibar wapiga kura za uchaguzi mkuu Source: AFP

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kime ongoza Tanzania, tangu nchi hiyo ya Afrika Mashariki ilipopata uhuru.


Hata hivyo katika kila uchaguzi vyama vya upinzani nchini Tanzania, vime kuwa viki jiongozea umaarufu bila kufikia lengo lakuondoa CCM madarakani.

Je Tanzania iko tayari kuongozwa na chama ambacho si CCM?

SBS Swahili ilijadili swala hili na Bw Jay pamoja na Bw Denis, wawili hao wakiwakilishi maoni pamoja na hisia mseto za watanzania kwa swala hili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Baada ya miongo ya uongozi wa CCM, je upinzani uta tengeza historia Tanzania? | SBS Swahili