Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Baada ya miongo ya uongozi wa CCM, je upinzani uta tengeza historia Tanzania?

Wakaazi wa Zanzibar wapiga kura za uchaguzi mkuu

Wakaazi wa Zanzibar wapiga kura za uchaguzi mkuu Source: AFP

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kime ongoza Tanzania, tangu nchi hiyo ya Afrika Mashariki ilipopata uhuru.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Chama Cha Mapinduzi (CCM) kime ongoza Tanzania, tangu nchi hiyo ya Afrika Mashariki ilipopata uhuru.


Hata hivyo katika kila uchaguzi vyama vya upinzani nchini Tanzania, vime kuwa viki jiongozea umaarufu bila kufikia lengo lakuondoa CCM madarakani.

Je Tanzania iko tayari kuongozwa na chama ambacho si CCM?

SBS Swahili ilijadili swala hili na Bw Jay pamoja na Bw Denis, wawili hao wakiwakilishi maoni pamoja na hisia mseto za watanzania kwa swala hili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now