Bajeti ya taifa iliyo tangazwa na serikali imelakiwa kwa hisia mseto, licha ya lengo layo kuwa ni kusaidia Australia katika mchakao wa uponaji kutoka mtikisiko wa uchumi uliosababishwa na coronavirus.
Katika bajeti hiyo kuna ahadi zamatumizi makubwa katika sehemu nyingi za sera, na ahadi chache au uhaba wa ahadi katika sehemu zingine.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






