Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Balozi Ali Karume afutwa uanachama CCM

Balozi ALI KARUME alipo chukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.jpg

Chama tawala cha CCM Zanzibar, kimemfuta uanachama kada wake, Balozi Ali Karume na kumtaka arejeshe kadi ya chama hicho.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Chama tawala cha CCM Zanzibar, kimemfuta uanachama kada wake, Balozi Ali Karume na kumtaka arejeshe kadi ya chama hicho.


Hatua hiyo imefikiwa zikiwa zimepita siku 23 tu, tangu Balozi Karume alipopewa barua ya onyo Juni 15, kabla ya juzi kuibuka tena akisisitiza kauli zake kwamba hakuna demokrasia ndani ya CCM.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now