Balozi Ali Karume afutwa uanachama CCM

Balozi ALI KARUME alipo chukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.jpg

Chama tawala cha CCM Zanzibar, kimemfuta uanachama kada wake, Balozi Ali Karume na kumtaka arejeshe kadi ya chama hicho.


Hatua hiyo imefikiwa zikiwa zimepita siku 23 tu, tangu Balozi Karume alipopewa barua ya onyo Juni 15, kabla ya juzi kuibuka tena akisisitiza kauli zake kwamba hakuna demokrasia ndani ya CCM.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Balozi Ali Karume afutwa uanachama CCM | SBS Swahili