Hali ya tahadhari ina endelea kuzingatiwa katika miji kadhaa nchini Kenya, baada ya balozi za Ulaya kutoa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi nchini humo.
Licha ya mamlaka husika kuchukua hatua zakuhakikisha usalama wa raia, bado kuna wasi wasi mwingi na raia wakigeni nchini humo wameshauriwa na balozi zao kufanya tahadhari zaidi nakuepuka sehemu za mikusanyiko ya watu wengi.
Bonya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






