Balozi za Ulaya za toa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi Kenya

Wanajeshi wafanya msako ndani ya soko la Westgate mjini Nairobi, baada ya shambulizi lakigaidi

Wanajeshi wafanya msako ndani ya soko la Westgate mjini Nairobi, baada ya shambulizi lakigaidi. Source: Getty

Hali ya tahadhari ina endelea kuzingatiwa katika miji kadhaa nchini Kenya, baada ya balozi za Ulaya kutoa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi nchini humo.


Licha ya mamlaka husika kuchukua hatua zakuhakikisha usalama wa raia, bado kuna wasi wasi mwingi na raia wakigeni nchini humo wameshauriwa na balozi zao kufanya tahadhari zaidi nakuepuka sehemu za mikusanyiko ya watu wengi.

Bonya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Balozi za Ulaya za toa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi Kenya | SBS Swahili