Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Balozi za Ulaya za toa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi Kenya

Wanajeshi wafanya msako ndani ya soko la Westgate mjini Nairobi, baada ya shambulizi lakigaidi

Wanajeshi wafanya msako ndani ya soko la Westgate mjini Nairobi, baada ya shambulizi lakigaidi. Source: Getty

Hali ya tahadhari ina endelea kuzingatiwa katika miji kadhaa nchini Kenya, baada ya balozi za Ulaya kutoa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi nchini humo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Hali ya tahadhari ina endelea kuzingatiwa katika miji kadhaa nchini Kenya, baada ya balozi za Ulaya kutoa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi nchini humo.


Licha ya mamlaka husika kuchukua hatua zakuhakikisha usalama wa raia, bado kuna wasi wasi mwingi na raia wakigeni nchini humo wameshauriwa na balozi zao kufanya tahadhari zaidi nakuepuka sehemu za mikusanyiko ya watu wengi.

Bonya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now