Baridi yaendelea kuikabili Yanga katika ligi kuu ya Tanzania

Wachezaji wa Yanga washerehekea goli dhidi ya Namungo FC katika ligi kuu ya Tanzania

Wachezaji wa Yanga washerehekea goli dhidi ya Namungo FC katika ligi kuu ya Tanzania Source: Young Africans Sports Club

Young Africans Sports Club, yaendelea kukaribia kutimiza malengo yake yakumaliza ukame wa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania.


Hii ni baada ya Simba Sports Club kutawala ligi hiyo kwa misimu kadhaa, ambapo imeshinda ligi kuu ya mpira wa miguu msimu mmoja baada ya mwingine.

Ila msimu huu, vijana wa Young Africans Sports Club wame onesha umahiri wao na kufikia sasa, hawaja poteza hata mechi moja katika ligi kuu ya mpira wa miguu nchini Tanzania.

Mtayarishaji wetu wa michezo Frank Mtao, alitufafanulia jinsi vijana wa Yanga wanafanya kumaliza ukame wa ushindi ambao ume wakabili kwa misimu kadhaa. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service