Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Baridi yaendelea kuikabili Yanga katika ligi kuu ya Tanzania

Wachezaji wa Yanga washerehekea goli dhidi ya Namungo FC katika ligi kuu ya Tanzania

Wachezaji wa Yanga washerehekea goli dhidi ya Namungo FC katika ligi kuu ya Tanzania Source: Young Africans Sports Club

Young Africans Sports Club, yaendelea kukaribia kutimiza malengo yake yakumaliza ukame wa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Young Africans Sports Club, yaendelea kukaribia kutimiza malengo yake yakumaliza ukame wa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania.


Hii ni baada ya Simba Sports Club kutawala ligi hiyo kwa misimu kadhaa, ambapo imeshinda ligi kuu ya mpira wa miguu msimu mmoja baada ya mwingine.

Ila msimu huu, vijana wa Young Africans Sports Club wame onesha umahiri wao na kufikia sasa, hawaja poteza hata mechi moja katika ligi kuu ya mpira wa miguu nchini Tanzania.

Mtayarishaji wetu wa michezo Frank Mtao, alitufafanulia jinsi vijana wa Yanga wanafanya kumaliza ukame wa ushindi ambao ume wakabili kwa misimu kadhaa. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now