Kaunti ya Nairobi nayo haija achwa nyuma katika mivutano yakisiasa, kiasi kwamba spika wa bunge ya kaunti hiyo amekuwa jeruhi mpya wamivutano hiyo. Baada yakukabiliwa kwa upinzani dhidi ya uongozi wake kwa muda mrefu, hatimae ali amua kujiuzulu na wadhifa wake kuchukuliwa na diwani mwingine kwa haraka.
Ben Mulwa: "Mwelekeo wa serikali kwa swala la ugatuzi unazua hofu"

Ben Mulwa- Msemaji wa gavana wa kaunti ya Nairobi, Kenya Source: Ben Mulwa
Swala la ugatuzi nchini Kenya lime zua mvutano mkubwa, katika viwango vyote vyaki siasa nchini humo.
Share