Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ben Mulwa: "Mwelekeo wa serikali kwa swala la ugatuzi unazua hofu"

Ben Mulwa- Msemaji wa gavana wa kaunti ya Nairobi, Kenya

Ben Mulwa- Msemaji wa gavana wa kaunti ya Nairobi, Kenya Source: Ben Mulwa

Swala la ugatuzi nchini Kenya lime zua mvutano mkubwa, katika viwango vyote vyaki siasa nchini humo.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Swala la ugatuzi nchini Kenya lime zua mvutano mkubwa, katika viwango vyote vyaki siasa nchini humo.


Kaunti ya Nairobi nayo haija achwa nyuma katika mivutano yakisiasa, kiasi kwamba spika wa bunge ya kaunti hiyo amekuwa jeruhi mpya wamivutano hiyo. Baada yakukabiliwa kwa upinzani dhidi ya uongozi wake kwa muda mrefu, hatimae ali amua kujiuzulu na wadhifa wake kuchukuliwa na diwani mwingine kwa haraka.

Bw Ben Mulwa ndiye msemaji wa gavana wa kaunti ya Nairobi, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifunguka kuhusu miradi ambayo gavana wa Nairobi anaongoza kuboresha maisha ya wakazi wa kaunti hiyo, pamoja na misukosuko yakisiasa ambayo ime ibuka kupitia swala la ugatuzi nchini humo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now