Benin "Benchi la ufundi lita hakikisha tunarekebisha makosa tuliyofanya"

Wachezaji wa timu ya Jamhuri ya Congo, wamkaba mchezaji wa Sudan Kusini katika mechi ya kombe la Afrika la Sydney, Australia.jpg

Kombe la Afrika la jamii zinazo ishi mjini Sydney, Australia limefika katika mzunguko wa tatu.


Timu kadhaa zimepiga hatua moja karibu kuingia katika robo fainali wakati zingine zimejipata katika njia panda ambapo matokeo yoyote yasiyo ushindi yanaweza maanisha mwisho wao katika michuano hiyo.

Bw Benin ni mwalimu wa timu ya Jamhuri ya Congo inayo shiriki katika michuano hiyo. Alizungumza na SBS Swahili punde baada ya mechi yake dhidi ya bingwa watetezi Sudan Kusini, ambapo aliweka wazi anacho tarajia benchi lake la ufundi lifanya kuhakikisha timu yake inafuzu kwa robo fainali.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service