Jamii nyingi kutoka Afrika huwa na matarajio makubwa kutoka kwa wazazi kwa wanao, kwa kile ambacho wanastahili jifunza shuleni pamoja na aina ya kazi ambazo watoto hao wanastahili fanya.
SBS Swahili ilizungumza na msanii wa kizazi kipya kutoka Brisbane, ambaye amechukua mwelekeo tofauti, na ule ambao alitarajiwa kuchukua. Bofya hapo juu usikize mahojiano tuliyo fanya naye.
Share





