Utafiti mpya umepata kuwa kushughulikia uhaba wa usawa kati ya ujuzi wa wahamiaji na ajira ambazo wanafanya kwa sasa, inaweza piga jeki uchumi wa Australia kwa dola bilioni sita kila mwaka.
Mpangilio huo wa uchumi kutoka chuo cha Curtin umepata kuwa ni asilimia 60 tu, ya wahamiaji kutoka mazingira ambako kiingereza si lugha yao ya kwanza, wanafanya kazi ambazo zina ambatana na ujuzi wao.
Share





