Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Biashara ndogo zakaribisha sherehe za Ramadan bila vizuizi vya UVIKO-19

Bango la Ramadan na muumini akisali

Bango la Ramadan na muumini akisali Source: Courtesy of MA

Kula, kusali na kuchangia upendo ndivyo jamii zawa Islamu wa Australia, wanasherehekea mwezi mtukufu wa Ramadan mwaka huu.


Published

By Sandra Fulloon

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kula, kusali na kuchangia upendo ndivyo jamii zawa Islamu wa Australia, wanasherehekea mwezi mtukufu wa Ramadan mwaka huu.


Ni mara ya kwanza katika miaka mbili wataweza kusherehekea mwezi mtukufu bila vizuizi vya UVIKO-19.

Kalenda ya ki Islamu hufuata awamu za mwezi, zinazo julikana kwa kawaida kama mzunguko wa mwezi.

Matokeo yake ni kwamba, mwezi Mtukufu wa Ramadan huanza takriban siku 10 mapema kila mwaka katika kalenda ya Gregorian.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now