Kula, kusali na kuchangia upendo ndivyo jamii zawa Islamu wa Australia, wanasherehekea mwezi mtukufu wa Ramadan mwaka huu.
Ni mara ya kwanza katika miaka mbili wataweza kusherehekea mwezi mtukufu bila vizuizi vya UVIKO-19.
Kalenda ya ki Islamu hufuata awamu za mwezi, zinazo julikana kwa kawaida kama mzunguko wa mwezi.
Matokeo yake ni kwamba, mwezi Mtukufu wa Ramadan huanza takriban siku 10 mapema kila mwaka katika kalenda ya Gregorian.
Share






