Bingwa watetezi DR Congo, wabanduliwa katika michuano ya soka ya NSW

Bingwa watetezi DR Congo, wakabiliana na Zimbabwe katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019

Bingwa watetezi DR Congo, wakabiliana na Zimbabwe katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019 Source: ANSA African Cup2019

DR Congo ili ingia katika robo fainali ya michuano ya soka ya jamii zaki Afrika zinazo ishi mjini Sydney, New South Wales, ikiwa na matumaini yaku fuzu kwa nusu fainali kutetea ubingwa wake.


Hata hivyo, vijana wa timu ya Mali walikuwa na mipango tofauti kama vile Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilivyo gundua tulipo hudhuria mechi hiyo, nakuzungumza na mashabiki na wachezaji wa DR Congo punde baada ya mechi hiyo kukamilika.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service