Bingwa watetezi DR Congo, wabanduliwa katika michuano ya soka ya NSW

Bingwa watetezi DR Congo, wakabiliana na Zimbabwe katika michuano ya kombe la Afrika la Sydney, NSW 2019 Source: ANSA African Cup2019
DR Congo ili ingia katika robo fainali ya michuano ya soka ya jamii zaki Afrika zinazo ishi mjini Sydney, New South Wales, ikiwa na matumaini yaku fuzu kwa nusu fainali kutetea ubingwa wake.
Share