Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bonfils afunguka kuhusu maandalizi ya Kombe la Afrika Sydney

Mwalimu wa Tanzania, Bonfils azungumza na wachezaji

Mwalimu wa Tanzania, Bonfils azungumza na wachezaji Source: SBS Swahili

Vijana katika jamii yawatu wenye asili ya Afrika jimboni New South Wales, walivuta pumzi ya afueni baada ya serikali ya jimbo hilo kutoa ruhusa kwa michezo na shughuli zingine kuanza tena ndani ya jamii.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vijana katika jamii yawatu wenye asili ya Afrika jimboni New South Wales, walivuta pumzi ya afueni baada ya serikali ya jimbo hilo kutoa ruhusa kwa michezo na shughuli zingine kuanza tena ndani ya jamii.


Moja ya matukio mhimu katika jamii yawatu wenye asili ya Afrika, ni michuano ya mpira wa miguu kwa jina la kombe la Afrika ambalo kwa mwaka mwingine klabu ya Western Sydney Wanderers watakuwa wenyeji wa michuano hiyo.

Katika mazungumzo maalum, Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na mwalimu wa timu ya Tanzania itakayo shiriki katika michuano hiyo itakayo anza Jumamosi 20 Novemba 2021. Je! vijana wa Tanzania wata chukua hatua moja zaidi mbele katika michuano hiyo kuliko mwaka jana?

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now