Tanzania ili ingia dimbani dhidi ya Sierra Leone, katika mechi ambako walihitaji kushinda mechi kwa ajili yakuendelea mbele katika hatua ya robo fainali.
Bonfils:"tunahitaji watanzania wengi, wajiunge na timu ili tuimarike zaidi"

Mwalimu wa timu ya Tanzania Bw Bonfils, azungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ya kombe la Afrika, mjini Rooty Hill, Australia. Source: SBS Swahili
Matumaini ya timu ya mpira wa miguu ya jamii yawatanzania wanao ishi Sydney, katika kombe la Afrika yame gonga mwamba.
Share