Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bonfils:"tunahitaji watanzania wengi, wajiunge na timu ili tuimarike zaidi"

Mwalimu wa Tanzania  azungumza na wachezaji

Mwalimu wa timu ya Tanzania Bw Bonfils, azungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ya kombe la Afrika, mjini Rooty Hill, Australia. Source: SBS Swahili

Matumaini ya timu ya mpira wa miguu ya jamii yawatanzania wanao ishi Sydney, katika kombe la Afrika yame gonga mwamba.


Tanzania ili ingia dimbani dhidi ya Sierra Leone, katika mechi ambako walihitaji kushinda mechi kwa ajili yakuendelea mbele katika hatua ya robo fainali.

Punde baada ya mechi hiyo Idhaa ya Kiswahili ya SBS, ilizungumza na mwalimu wa Tanzania Bw Bonfils ambaye aliweka wazi yaliyojiri katika mechi hiyo yakufa nakupona.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now