Bonfils:"tunahitaji watanzania wengi, wajiunge na timu ili tuimarike zaidi"

Mwalimu wa Tanzania  azungumza na wachezaji

Mwalimu wa timu ya Tanzania Bw Bonfils, azungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ya kombe la Afrika, mjini Rooty Hill, Australia. Source: SBS Swahili

Matumaini ya timu ya mpira wa miguu ya jamii yawatanzania wanao ishi Sydney, katika kombe la Afrika yame gonga mwamba.


Tanzania ili ingia dimbani dhidi ya Sierra Leone, katika mechi ambako walihitaji kushinda mechi kwa ajili yakuendelea mbele katika hatua ya robo fainali.

Punde baada ya mechi hiyo Idhaa ya Kiswahili ya SBS, ilizungumza na mwalimu wa Tanzania Bw Bonfils ambaye aliweka wazi yaliyojiri katika mechi hiyo yakufa nakupona.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Bonfils:"tunahitaji watanzania wengi, wajiunge na timu ili tuimarike zaidi" | SBS Swahili