Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kuvunja ukimya unao wazingira watoto wasio kuwa na sauti

Mwanafunzi wa chuo Tim Chan

Mwanafunzi wa chuo Tim Chan Source: SBS

Mtoto mmoja kati ya watoto wanne wenye ulemavu, hawa ruhusiwi katika shule za kawaida nchini Australia.


Published

Updated

By Patrick Abboud

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Mtoto mmoja kati ya watoto wanne wenye ulemavu, hawa ruhusiwi katika shule za kawaida nchini Australia.


Ila wataalam wa elimu ya watoto wame eleza makala ya The Feed ambayo hupeperushwa kwenye runinga ya SBS kuwa, wengi wa watoto hao, wametambuliwa kimakosa kuwa wana ulemavu wa akili, kupitia mitihani isiyo faa aina ya IQ, ambayo hufanywa na idara za elimu.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now