Kuvunja ukimya unao wazingira watoto wasio kuwa na sauti

Mwanafunzi wa chuo Tim Chan

Mwanafunzi wa chuo Tim Chan Source: SBS

Mtoto mmoja kati ya watoto wanne wenye ulemavu, hawa ruhusiwi katika shule za kawaida nchini Australia.


Ila wataalam wa elimu ya watoto wame eleza makala ya The Feed ambayo hupeperushwa kwenye runinga ya SBS kuwa, wengi wa watoto hao, wametambuliwa kimakosa kuwa wana ulemavu wa akili, kupitia mitihani isiyo faa aina ya IQ, ambayo hufanywa na idara za elimu.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service