Brian "Kita eleweka 16 Septemba ndani ya Melbourne Pavilion"

Brian 'Swagga Boy' Agina kwenye bango la pambano lake.jpg

Brian 'Swagga Boy' Agina ni bondia mwenye asili ya Kenya anaye ishi jimboni Victoria, Australia.


Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu kilicho mshawishi kuwa bondia. Alitueleza pia kuhusu maandalizi ya pambano lake la 16 Septemba 2023 katika ukumbi wa Melbourne Pavilion.

Bw Brian ame waomba wakenya na wanachama wa jumuiya yawa Afrika wajitokeze kwa wingi kumushabikia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Brian "Kita eleweka 16 Septemba ndani ya Melbourne Pavilion" | SBS Swahili