Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Brian "Kita eleweka 16 Septemba ndani ya Melbourne Pavilion"

Brian 'Swagga Boy' Agina kwenye bango la pambano lake.jpg

Brian 'Swagga Boy' Agina ni bondia mwenye asili ya Kenya anaye ishi jimboni Victoria, Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Brian 'Swagga Boy' Agina ni bondia mwenye asili ya Kenya anaye ishi jimboni Victoria, Australia.


Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu kilicho mshawishi kuwa bondia. Alitueleza pia kuhusu maandalizi ya pambano lake la 16 Septemba 2023 katika ukumbi wa Melbourne Pavilion.

Bw Brian ame waomba wakenya na wanachama wa jumuiya yawa Afrika wajitokeze kwa wingi kumushabikia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now