Sekta ya burudani ina endelea kukuwa nchini Australia, na waAfrika nao hawaja achwa nyuma katika sekta hiyo.
Bryan Henry ni mmoja wa wajasiriamali katika sekta hiyo, alitembelea Studio za SBS ambako alieleza Idhaa ya Kiswahili kuhusu kazi ya upromota, changamoto zake, mafanikio yake pamoja na tamasha anayo andaa mjini Sydney, ya msanii wa nyimbo za injili kutoka Kenya Emmy Kosgei.
Tamasha hiyo itakuwa katika ukumbi wa kanisa laki Anglikan la Auburn, NSW tarehe 1 Disemba 2019 kuanzia saa kumi jioni hadi saa tatu za usiku.
Share





