Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bryan:"Karibuni tusherehekee mziki wa dada yetu Emmy Kosgei"

Bryan Henry afunguka kuhusu kazi ya upromota

Bryan Henry afunguka kuhusu kazi ya upromota Source: SBS Swahili

Sekta ya burudani ina endelea kukuwa nchini Australia, na waAfrika nao hawaja achwa nyuma katika sekta hiyo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano, Frank Mtao

Source: SBS


Share this with family and friends


Sekta ya burudani ina endelea kukuwa nchini Australia, na waAfrika nao hawaja achwa nyuma katika sekta hiyo.


Bryan Henry ni mmoja wa wajasiriamali katika sekta hiyo, alitembelea Studio za SBS ambako alieleza Idhaa ya Kiswahili kuhusu kazi ya upromota, changamoto zake, mafanikio yake pamoja na tamasha anayo andaa mjini Sydney, ya msanii wa nyimbo za injili kutoka Kenya Emmy Kosgei.

Tamasha hiyo itakuwa katika ukumbi wa kanisa laki Anglikan la Auburn, NSW tarehe 1 Disemba 2019 kuanzia saa kumi jioni hadi saa tatu za usiku.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now