Bw Ary Lyimo ni mmoja wa waanzilishi wa jumuiya hiyo, na kwa sasa ni mshauri wa baraza la uongozi wa jumuiya hiyo.
Katika mahojiano na SBS Swahili, Bw Ary alifunguka kuhusu mchango wa jumuiya yake katika jumuiya pana ya Australia, pamoja na vitu wanajumuiya na marafiki wao wanastahili tarajia siku ya sherehe.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.