Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia"

Bw Ary Lyimo, mshauri wa baraza la viongozi wa jumuiya ya watanzania wanao ishi Melbourne, Victoria

Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.


Bw Ary Lyimo ni mmoja wa waanzilishi wa jumuiya hiyo, na kwa sasa ni mshauri wa baraza la uongozi wa jumuiya hiyo.

Katika mahojiano na SBS Swahili, Bw Ary alifunguka kuhusu mchango wa jumuiya yake katika jumuiya pana ya Australia, pamoja na vitu wanajumuiya na marafiki wao wanastahili tarajia siku ya sherehe.

Bango la sherehe ya uhuru wa Tanzania, iliyo chapwa na jumuiya yawa Tanzania wanao ishi Melbourne, Victoria, Australia

Unaweza pata taarifa zaidi kuhusu sherehe hiyo, pamoja na matukio mengine ya jumuiya yawa Tanzania kwenye kurasa zao za mitandao yakijamii: Tanzanian Community Association of Victoria INC. Australia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now