Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia"

Bw Ary Lyimo, mshauri wa baraza la viongozi wa jumuiya ya watanzania wanao ishi Melbourne, Victoria

Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.


Bw Ary Lyimo ni mmoja wa waanzilishi wa jumuiya hiyo, na kwa sasa ni mshauri wa baraza la uongozi wa jumuiya hiyo.

Katika mahojiano na SBS Swahili, Bw Ary alifunguka kuhusu mchango wa jumuiya yake katika jumuiya pana ya Australia, pamoja na vitu wanajumuiya na marafiki wao wanastahili tarajia siku ya sherehe.
Bango la sherehe ya uhuru wa Tanzania, iliyo chapwa na jumuiya yawa Tanzania wanao ishi Melbourne, Victoria, Australia
Unaweza pata taarifa zaidi kuhusu sherehe hiyo, pamoja na matukio mengine ya jumuiya yawa Tanzania kwenye kurasa zao za mitandao yakijamii: Tanzanian Community Association of Victoria INC. Australia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia" | SBS Swahili