Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bw Elongo afunguka kuhusu huduma za ASSIDA

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia.

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia. Source: Theophile Elongo

Shirika la ASSIDA hutoa huduma kwa jamii zawakimbizi na wahamiaji mjini Sydney, Australia.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika la ASSIDA hutoa huduma kwa jamii zawakimbizi na wahamiaji mjini Sydney, Australia.


Bw Theophile Elongo ni mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa ASSIDA, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi jinsi jamii inaweza faidi kupitia huduma za shirika.

Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma za ASSIDA, tembelea tovuti hii: www.assida.net


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now