Bw Elongo afunguka kuhusu huduma za ASSIDA

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia.

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia. Source: Theophile Elongo

Shirika la ASSIDA hutoa huduma kwa jamii zawakimbizi na wahamiaji mjini Sydney, Australia.


Bw Theophile Elongo ni mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa ASSIDA, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi jinsi jamii inaweza faidi kupitia huduma za shirika.

Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma za ASSIDA, tembelea tovuti hii: www.assida.net


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service