Bw Theophile Elongo ni mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa ASSIDA, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi jinsi jamii inaweza faidi kupitia huduma za shirika.
Bw Elongo afunguka kuhusu huduma za ASSIDA

Theophile Elongo mwanzilishi wa shirika la ASSIDA, lenye makao makuu jimboni New South Wales, Australia. Source: Theophile Elongo
Shirika la ASSIDA hutoa huduma kwa jamii zawakimbizi na wahamiaji mjini Sydney, Australia.
Share