Bw Kisimba afunguka kuhusu umuhimu waku andalia jamii yawa Afrika sherehe ya krismasi

Isaac Kisimba, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Joining Families Support Services.jpg

Mwisho wa mwaka unapo karibia sherehe zakila aina huandaliwa kote duniani kwa sababu tofauti.


Nchini Australia sawia na katika sehemu zingine za dunia sherehe zakufunga mwaka, au kusherehekea mafanikio watu na mashirika mbali mbali yali pata katika mwaka huo ni kawaida.

Bw Kisimba ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la Joining Families Support Services. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu sababu zaku andaa sherehe ya krismasi yawa Afrika jimboni New South Wales.

Bw Kisimaba aliweka wazi pia baadhi ya mafanikio ambayo sherika lake la JFSS ambalo lilidhamini sherehe hiyo, lilipata katika mwaka huu wa 2022.

Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma za shirika la Joining Families Support Services bonyeza hapa: https://www.joiningfamilies.org/

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service