Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Bw Kisimba afunguka kuhusu umuhimu waku andalia jamii yawa Afrika sherehe ya krismasi

Isaac Kisimba, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Joining Families Support Services.jpg

Mwisho wa mwaka unapo karibia sherehe zakila aina huandaliwa kote duniani kwa sababu tofauti.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mwisho wa mwaka unapo karibia sherehe zakila aina huandaliwa kote duniani kwa sababu tofauti.


Nchini Australia sawia na katika sehemu zingine za dunia sherehe zakufunga mwaka, au kusherehekea mafanikio watu na mashirika mbali mbali yali pata katika mwaka huo ni kawaida.

Bw Kisimba ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la Joining Families Support Services. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu sababu zaku andaa sherehe ya krismasi yawa Afrika jimboni New South Wales.

Bw Kisimaba aliweka wazi pia baadhi ya mafanikio ambayo sherika lake la JFSS ambalo lilidhamini sherehe hiyo, lilipata katika mwaka huu wa 2022.

Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma za shirika la Joining Families Support Services bonyeza hapa: https://www.joiningfamilies.org/


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now