Wazuru wa maswala ya ndani Peter Dutton amesema jamii lazima isaidie mamlaka kuzuia mashambulizi ya ugaidi, hata kama mwanaume aliye husika katika shambulizi lililo sababisha kifo katika mtaa wa Bourke mjini Melbourne, ijumaa iliyo pita alikuwa akifuatiliwa na mamlaka.
Bw Dutton ame ongezea kuwa, hatakama kuna takriban idadi ya watu 400 wanoa chunguzwa na polisi pamoja na vyombo vya ujasusi, taarifa kutoka umma inahitajika kuzuia mashambulizi ya ghafla.
Share






