Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wito wa tolewa kwa jamii isaidie kuzuia mashambulizi ya ugaidi

Waombolezaji watoa heshima zoa kwa Sisto Malaspina, nje ya mgahawa wa Pellegrini's Espresso Bar, Bourke Street, Melbourne

Waombolezaji watoa heshima zoa kwa Sisto Malaspina, nje ya mgahawa wa Pellegrini's Espresso Bar, Bourke Street, Melbourne. Source: AAP

Wazuru wa maswala ya ndani Peter Dutton amesema jamii lazima isaidie mamlaka kuzuia mashambulizi ya ugaidi, hata kama mwanaume aliye husika katika shambulizi lililo sababisha kifo katika mtaa wa Bourke mjini Melbourne, ijumaa iliyo pita alikuwa akifuatiliwa na mamlaka.


Published

Updated

By Peggy Giakoumelos

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Wazuru wa maswala ya ndani Peter Dutton amesema jamii lazima isaidie mamlaka kuzuia mashambulizi ya ugaidi, hata kama mwanaume aliye husika katika shambulizi lililo sababisha kifo katika mtaa wa Bourke mjini Melbourne, ijumaa iliyo pita alikuwa akifuatiliwa na mamlaka.


Bw Dutton ame ongezea kuwa, hatakama kuna takriban idadi ya watu 400 wanoa chunguzwa na polisi pamoja na vyombo vya ujasusi, taarifa kutoka umma inahitajika kuzuia mashambulizi ya ghafla.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now