Wito wa tolewa kwa jamii isaidie kuzuia mashambulizi ya ugaidi

Waombolezaji watoa heshima zoa kwa Sisto Malaspina, nje ya mgahawa wa Pellegrini's Espresso Bar, Bourke Street, Melbourne

Waombolezaji watoa heshima zoa kwa Sisto Malaspina, nje ya mgahawa wa Pellegrini's Espresso Bar, Bourke Street, Melbourne. Source: AAP

Wazuru wa maswala ya ndani Peter Dutton amesema jamii lazima isaidie mamlaka kuzuia mashambulizi ya ugaidi, hata kama mwanaume aliye husika katika shambulizi lililo sababisha kifo katika mtaa wa Bourke mjini Melbourne, ijumaa iliyo pita alikuwa akifuatiliwa na mamlaka.


Bw Dutton ame ongezea kuwa, hatakama kuna takriban idadi ya watu 400 wanoa chunguzwa na polisi pamoja na vyombo vya ujasusi, taarifa kutoka umma inahitajika kuzuia mashambulizi ya ghafla.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service