Alassane Outtara ndiye rais wa Ivory Coast, ameafiki baadhi ya madai ya wanajeshi hao kuhusu malipo na mazingira ya kazi.
Hata hivyo, kisa hicho kimezua wasi wasi miongoni mwa wenyeji, na wanamhamasisha rais wao ahakikishe kisa hicho kisirudiwe tena.
