Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Utulivu warejea Ivory Coast baada ya uasi wa siku mbili wa wanajeshi

Wafanya biashara warejea kazini baada ya wanajeshi kumaliza uasi mjini Abidjan, Ivory Coast

Wafanya biashara warejea kazini baada ya wanajeshi kumaliza uasi mjini Abidjan, Ivory Coast Source: AAP

Afueni imerejea katika mitaa ya mji wa Bouake, ambao ndio mji mkuu wa pili wa Ivory Coast baada ya wanajeshi kufanya uasi kwa siku mbili, mgomo ambao ulisambaa nchini kote.


Alassane Outtara ndiye rais wa Ivory Coast, ameafiki baadhi ya madai ya wanajeshi hao kuhusu malipo na mazingira ya kazi.

Hata hivyo, kisa hicho kimezua wasi wasi miongoni mwa wenyeji, na wanamhamasisha rais wao ahakikishe kisa hicho kisirudiwe tena.

 

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now