Jean Paul alipoteza familia yake yote katika mauaji yakimbari ya 1994 nchini Rwanda, miaka michache baadae aliwashangaza wengi kwa kumsamehe mtu aliye angamiza familia yake nawakawa marafiki wa karibu.
Unaweza msamehe mtu aliye angamiza familia yako?
Bw Jean Paul Samputu akiwa ndani ya studio ya SBS Radio Source: SBS Swahili
Share
