Wanajamii kutoka mashariki ya Afrika wanao ishi ACT, wana endelea kuomboleza vifo vya marafiki wao.
Wandani wa wenda zao wame sema wali ishi maisha mazuri na yenye furaha.

Marafiki na familia wa aga Anne Muhoro na watoto wake wawili walio fariki katika moto ulio choma nyumba yao Source: ABC News: Jake Evans
Wandani wa wenda zao wame sema wali ishi maisha mazuri na yenye furaha.

SBS World News