Polisi wa ACT wana endelea kuchunguza kilicho sababisha vifo vya Anne Muhoro na watoto wake wawili Ezvin na Furaha ambao waligunduliwa ndani ya nyumba yao iliyo ungua.
Wanajamii kutoka mashariki ya Afrika wanao ishi ACT, wana endelea kuomboleza vifo vya marafiki wao.
Wandani wa wenda zao wame sema wali ishi maisha mazuri na yenye furaha.
SBS Swahili ilizungumza na Mwenyekiti wa shirika linalo wakilisha watu kutoka Mashariki ya Afrika mjini Canberra (EACA) Bw Godfrey Muthomi, kuhusu madhara ya janga hilo katika jamii.
Share

