Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Moto wa angamiza familia ya mkenya nyumbani mwao

Marafiki na familia wa aga Anne Muhoro na watoto wake wawili walio fariki katika moto ulio choma nyumba yao

Marafiki na familia wa aga Anne Muhoro na watoto wake wawili walio fariki katika moto ulio choma nyumba yao Source: ABC News: Jake Evans

Polisi wa ACT wana endelea kuchunguza kilicho sababisha vifo vya Anne Muhoro na watoto wake wawili Ezvin na Furaha ambao waligunduliwa ndani ya nyumba yao iliyo ungua.


Published

Updated

By SBS Swahili

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Polisi wa ACT wana endelea kuchunguza kilicho sababisha vifo vya Anne Muhoro na watoto wake wawili Ezvin na Furaha ambao waligunduliwa ndani ya nyumba yao iliyo ungua.


Wanajamii kutoka mashariki ya Afrika wanao ishi ACT, wana endelea kuomboleza vifo vya marafiki wao.

Wandani wa wenda zao wame sema wali ishi maisha mazuri na yenye furaha.

SBS Swahili ilizungumza na Mwenyekiti wa shirika linalo wakilisha watu kutoka Mashariki ya Afrika mjini Canberra (EACA) Bw Godfrey Muthomi, kuhusu madhara ya janga hilo katika jamii.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now