Canberra: tathmini ya wiki hii 14 Septemba 2018

Scott Morrison atachunguza madai dhidi ya Peter Dutton, kuhusu sera ya huduma ya watoto. Source: AAP
Wiki hii Scott Morrison alirejea bungeni kwa mara ya kwanza akiwa waziri kuu, baada yakushinda uchaguzi wa kiongozi wa chama mwezi jana agosti.
Share