Canberra: tathmini ya wiki hii 14 Septemba 2018

Waziri Mkuu Scott Morrison akizungumza bungeni

Scott Morrison atachunguza madai dhidi ya Peter Dutton, kuhusu sera ya huduma ya watoto. Source: AAP

Wiki hii Scott Morrison alirejea bungeni kwa mara ya kwanza akiwa waziri kuu, baada yakushinda uchaguzi wa kiongozi wa chama mwezi jana agosti.


Na licha ya juhudi za serikali ya mseto kujaribu kuonesha umoja, chama cha Liberal kime kumbwa kwa mgawanyiko kuhusu idadi ya wanawake ndani bungeni, pamoja na madai ya unyanyasaji ndani ya chama hicho.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service