Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Canberra: tathmini ya wiki hii 14 Septemba 2018

Waziri Mkuu Scott Morrison akizungumza bungeni

Scott Morrison atachunguza madai dhidi ya Peter Dutton, kuhusu sera ya huduma ya watoto. Source: AAP

Wiki hii Scott Morrison alirejea bungeni kwa mara ya kwanza akiwa waziri kuu, baada yakushinda uchaguzi wa kiongozi wa chama mwezi jana agosti.


Na licha ya juhudi za serikali ya mseto kujaribu kuonesha umoja, chama cha Liberal kime kumbwa kwa mgawanyiko kuhusu idadi ya wanawake ndani bungeni, pamoja na madai ya unyanyasaji ndani ya chama hicho.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now