Vikao vya wiki ya mwisho vya bunge kabla ya mapumziko ya kati ya majira ya baridi, vilitawaliwa kwa madai ya ufisadi na utovu wa nidhamu.
Mwanasheria mkuu aliamuru uchunguzi kwa madai ya utovu wa nidhamu katika kampuni ya Crown Casino, na chama cha Liberal, kilimaliza wiki kwakujaribu kuzima madai kuwa, chama hicho kina tatizo na wanawake.
Tathmini kwa madai ya ukandamizaji ndani ya chama cha Liberal, inatarajiwa kutolewa baadae mwaka huu.
Share






