Carol:"Tunataka hii tamasha iandaliwe zaidi ya mara mbili kwa mwaka."

Baadhi ya wadau walio jumuika katika tamasha ya Africultures Festival 2022.

Baadhi ya wadau walio jumuika katika tamasha ya Africultures Festival 2022. Source: SBS Swahili

Imechukua miaka mbili, lakini hatimae tamasha ya Africultures Festival ime andaliwa nakufanyika kwa mafanikio makubwa katika eneo la Sydney Olympic Park, New South Wales.


Wanachama wajamii zawa Afrika kutoka vitongoji vya Sydney, walihudhuria tamasha hiyo kwa makumi yama elfu baada ya miaka mbili ya matukio na tamasha kama hizo kupigwa marufuku kote nchini kwa sababu ya hatua zaku dhibiti usambaaji wa UVIKO-19.

Baadhi ya wadau walio hudhuria tamasha ya Africultures Festival 2022, wali changia maoni yao na SBS Swahili kuhusu walivyo kuwa wamekosa katika miaka mbili ya nyuma, pamoja na vilivyo wavutia katika tamasha ya mwaka huu.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service