Ila katika eneo la jimbo la kaskazini ya Australia, jamii yahapo inafanya kitu tofauti: jamii hiyo inawa enzi wanawake ambao mara nyingi huwa hawajumuishwi katika maadhimisho hayo, kupitia mkutano wa kwanza ulio batizwa jina la: "Hakuna mwanamke atakaye achwa nyuma".





