Watu duniani kote wame jumuika Ijumaa tarehe nane Machi, kuadhimisha sherehe nyingine ya siku kuu yakimataifa ya wanawake.
Ila katika eneo la jimbo la kaskazini ya Australia, jamii yahapo inafanya kitu tofauti: jamii hiyo inawa enzi wanawake ambao mara nyingi huwa hawajumuishwi katika maadhimisho hayo, kupitia mkutano wa kwanza ulio batizwa jina la: "Hakuna mwanamke atakaye achwa nyuma".
Share






