Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Juhudi za anza kukabiliana na sintofahumu, kuhusu vijana wakiafrika mjini Melbourne

Baadhi ya vijana walio hudhuria tamasha ya ujamaa

Baadhi ya vijana walio hudhuria tamasha ya ujamaa Source: Ayen

Katika siku za hivi karibuni, wanasiasa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Australia, wame kuwa wakiongoza mjadala kuhusu vikundi vya vijana wakiafrika wanao fanya vurugu mjini Melbourne, naku inyima jamii pana fursa yaku shiriki katika shughuli zao za kila siku kwa sababu yaku jawa uoga.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Katika siku za hivi karibuni, wanasiasa na baadhi ya vyombo vya habari nchini Australia, wame kuwa wakiongoza mjadala kuhusu vikundi vya vijana wakiafrika wanao fanya vurugu mjini Melbourne, naku inyima jamii pana fursa yaku shiriki katika shughuli zao za kila siku kwa sababu yaku jawa uoga.


Madai hayo yame sababisha kundi la vijana mjini Melbourne kuandaa tamasha ya "Ujamaa Community Festival", ambako wanachama wa jamii zawa Afrika walikutana na wenzao kutoka jamii pana yawa Australia, kuzungumza, kuchangia uzoefu wao pamoja nakusherehekea utofauti wa jamii zinazo ishi Victoria.

SBS Swahili ilizungumza na mmoja wa vijana aliye hudhuria tukio hilo. Katika mahojiano alizungumzia umuhimu wa tukio hilo, na alichangia pia baadhi ya pendekezo ambazo anahisi zinaweza badili gumzo inayo ongozwa na wanasiasa na vyombo vya habari ambavyo vime kuwa viki shinikiza vijana waki Afrika wa Melbourne.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now