Chama tawala cha Burundi chamchagua mgombea wa urais

Rais Mteule wa Burundi, Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye

Rais Mteule Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye katika kampeni ya uchaguzi wa urais wa Burundi Source: Evariste Ndayishimiye

Chama tawala cha Burundi CNDD/FDD, kime mchagua Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, kupeperusha bendera yao katika uchaguzi wa urais ujao.


Uteuzi huo wa Bw Ndayishimiwe amepokewa kwa furaha na raia wengi wa Burundi, ambao walikuwa na hofu kuwa rais aliye madarakani hata tekeleza ahadi yake yakutowania urais tena baada yakubadili katiba ya nchi hiyo.

Je vyama vya upinzani vya Burundi vita ungana kumchagua mgombea mmoja, au kila chama kita wania urais kivyao?

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service