Uteuzi huo wa Bw Ndayishimiwe amepokewa kwa furaha na raia wengi wa Burundi, ambao walikuwa na hofu kuwa rais aliye madarakani hata tekeleza ahadi yake yakutowania urais tena baada yakubadili katiba ya nchi hiyo.
Chama tawala cha Burundi chamchagua mgombea wa urais

Rais Mteule Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye katika kampeni ya uchaguzi wa urais wa Burundi Source: Evariste Ndayishimiye
Chama tawala cha Burundi CNDD/FDD, kime mchagua Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, kupeperusha bendera yao katika uchaguzi wa urais ujao.
Share