Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Chama tawala cha Burundi chamchagua mgombea wa urais

Rais Mteule wa Burundi, Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye

Rais Mteule Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye katika kampeni ya uchaguzi wa urais wa Burundi Source: Evariste Ndayishimiye

Chama tawala cha Burundi CNDD/FDD, kime mchagua Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, kupeperusha bendera yao katika uchaguzi wa urais ujao.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Chama tawala cha Burundi CNDD/FDD, kime mchagua Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, kupeperusha bendera yao katika uchaguzi wa urais ujao.


Uteuzi huo wa Bw Ndayishimiwe amepokewa kwa furaha na raia wengi wa Burundi, ambao walikuwa na hofu kuwa rais aliye madarakani hata tekeleza ahadi yake yakutowania urais tena baada yakubadili katiba ya nchi hiyo.

Je vyama vya upinzani vya Burundi vita ungana kumchagua mgombea mmoja, au kila chama kita wania urais kivyao?

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now