Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Chanjo za UVIKO-19 za watoto wenye chini ya miaka tano za idhinishwa Marekani

This May 2022 photo provided by Pfizer shows production of the Pfizer's COVID-19 vaccine for children under 5 in Puurs, Belgium

This May 2022 photo provided by Pfizer shows production of the Pfizer's COVID-19 vaccine for children under 5 in Puurs, Belgium Source: Pfizer

Chanjo za UVIKO -19 kwa watoto wenye chini ya miaka tano nchini Marekani zinaweza anza tolewa wiki hii, mamlaka wakisubiri idhini kutoka vituo vya kudhibiti ugonjwa nakuzuia.


Published

By Abbie O'Brien

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Chanjo za UVIKO -19 kwa watoto wenye chini ya miaka tano nchini Marekani zinaweza anza tolewa wiki hii, mamlaka wakisubiri idhini kutoka vituo vya kudhibiti ugonjwa nakuzuia.


Maswali yanaulizwa kama Australia nayo itafuata hatua hiyo. UVIKO -19 hauendi popote, wakati wowote hivi karibuni.

Na kwa hiyo, dunia inajifunza kuishi na virusi hivyo na sehemu kubwa ya hatua hiyo inajumuisha chanjo. Nchini Marekani, jopo la wataalam limepiga kura bila kupingwa kuwa manufaa yakuwachanja watoto wenye chini ya miaka tano, ni mengi kuliko hatari. Ila watoto wachanga nchini Australia, bado hawaja stahiki kupokewa chanjo hizo.

Dr Wood ameongezea kuwa wakati majiribo ya kwanza yanadokea majibu mazuri ya kinga ya mwili katika watoto wachanga, data zaidi itahitajika kuunga mkono chanjo hizi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now