Chanjo za UVIKO-19 za watoto wenye chini ya miaka tano za idhinishwa Marekani

This May 2022 photo provided by Pfizer shows production of the Pfizer's COVID-19 vaccine for children under 5 in Puurs, Belgium

This May 2022 photo provided by Pfizer shows production of the Pfizer's COVID-19 vaccine for children under 5 in Puurs, Belgium Source: Pfizer

Chanjo za UVIKO -19 kwa watoto wenye chini ya miaka tano nchini Marekani zinaweza anza tolewa wiki hii, mamlaka wakisubiri idhini kutoka vituo vya kudhibiti ugonjwa nakuzuia.


Maswali yanaulizwa kama Australia nayo itafuata hatua hiyo. UVIKO -19 hauendi popote, wakati wowote hivi karibuni.

Na kwa hiyo, dunia inajifunza kuishi na virusi hivyo na sehemu kubwa ya hatua hiyo inajumuisha chanjo. Nchini Marekani, jopo la wataalam limepiga kura bila kupingwa kuwa manufaa yakuwachanja watoto wenye chini ya miaka tano, ni mengi kuliko hatari. Ila watoto wachanga nchini Australia, bado hawaja stahiki kupokewa chanjo hizo.

Dr Wood ameongezea kuwa wakati majiribo ya kwanza yanadokea majibu mazuri ya kinga ya mwili katika watoto wachanga, data zaidi itahitajika kuunga mkono chanjo hizi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service