Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Charles "Lazima tuishi na pressure sababu sisi ndio sura ya waafrika katika ligi"

Charles Mmombwa katika mechi ya ligi kuu ya mpira wa miguu ya Australia

Charles M'Mombwa of Macarthur FC looks for possession during the A-League match between Wellington Phoenix and Macarthur FC at Campbelltown Stadium in Sydney, Sunday, February 6, 2022. (AAP Image/David Neilson) NO ARCHIVING, EDITORIAL USE ONLY Source: AAP / DAVID NEILSON/AAPIMAGE

Charles Mmombwa ni mmoja wa wachezaji wenye asili ya Afrika, wenye sifa kubwa sana kwa vipaji vyao katika ligi kuu ya mpira wa miguu ya Australia.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Charles Mmombwa ni mmoja wa wachezaji wenye asili ya Afrika, wenye sifa kubwa sana kwa vipaji vyao katika ligi kuu ya mpira wa miguu ya Australia.


Bw Mmombwa alisaidia timu yake ya Macarthur FC kufuzu kwa fainali ya kombe la Australia na siku chache zilizopita alijiunga na wachezaji wenzake pamoja na mashabiki wao katika sherehe baada yakushinda kombe hilo.

Charles Mmombwa akiwa pamoja na nahodha wake Ulises Davila wapiga picha pamoja na mashabiki wao.jpg

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Mmombwa alifunguka kuhusu juhudi anayo weka kuhakikisha anasalia katika kiwango bora ili achaguliwe na mwalimu kucheza, pamoja na anavyo kabiliana na shinikizo la kuwa balozi wa jamii yawa Afrika uwanjani.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now