Mjini Bukavu watoto wengi wanaonekana kufanya kazi kinyume na sheria huku wengi wao wakionekana kujishughulisha na biashara kwenye soko na barabarani.
Watoto wanao fanya kazi kinyume na sheria DRC
Watoto watatu waweka mbolea shambani kwa ajili yaku pata hela zaku nunua chakula Source: Getty images
Wakati huu jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ikikamilisha msimu wa masomo kote nchini,ambapo wengi wa watoto huingia katika likizo.
Share




