Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Watoto wanao fanya kazi kinyume na sheria DRC

Watoto watatu waweka mbolea shambani kwa ajili yaku pata hela zaku nunua chakula

Watoto watatu waweka mbolea shambani kwa ajili yaku pata hela zaku nunua chakula Source: Getty images

Wakati huu jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ikikamilisha msimu wa masomo kote nchini,ambapo wengi wa watoto huingia katika likizo.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Wakati huu jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ikikamilisha msimu wa masomo kote nchini,ambapo wengi wa watoto huingia katika likizo.


Mjini Bukavu watoto wengi wanaonekana kufanya kazi kinyume na sheria huku wengi wao wakionekana kujishughulisha na biashara kwenye soko na barabarani.

Ingawa uhimizaji umekwisha fanyika watoto hawo wanaendesha kazi hizo bila shaka lote na kwa macho ya watu wote.

Mwandishi wa SBS nchini DRC BYOBE MALENGA na taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now