Watoto wanao fanya kazi kinyume na sheria DRC

Watoto watatu waweka mbolea shambani kwa ajili yaku pata hela zaku nunua chakula

Watoto watatu waweka mbolea shambani kwa ajili yaku pata hela zaku nunua chakula Source: Getty images

Wakati huu jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ikikamilisha msimu wa masomo kote nchini,ambapo wengi wa watoto huingia katika likizo.


Mjini Bukavu watoto wengi wanaonekana kufanya kazi kinyume na sheria huku wengi wao wakionekana kujishughulisha na biashara kwenye soko na barabarani.

Ingawa uhimizaji umekwisha fanyika watoto hawo wanaendesha kazi hizo bila shaka lote na kwa macho ya watu wote.

Mwandishi wa SBS nchini DRC BYOBE MALENGA na taarifa zaidi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service