Watoto wenye ulemavu watengwa shuleni

Wanafunzi waenda darasani

Wanafunzi waenda darasani Source: SBS

Mwaka wa elimu una endelea kwa kasi ila, baadhi ya wanafunzi wanakabiliana na changamoto zaku jumuishwa.


Inakadiriwa kuwa mtoto mmoja kati yawatoto kumi wenye ulemavu, hawa saidiwi na shule za kawaida, licha ya shule hizo kuwa na jukumu lakutoa msaada wanao hitaji.

Kutengwa kwa wanafunzi hao, kuna zua wasi wasi iwapo, wazazi wana chaguo lolote kuhusu, jinsi watoto wao wanavyo fundishwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service