Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Watoto wenye ulemavu watengwa shuleni

Wanafunzi waenda darasani

Wanafunzi waenda darasani Source: SBS

Mwaka wa elimu una endelea kwa kasi ila, baadhi ya wanafunzi wanakabiliana na changamoto zaku jumuishwa.


Published

By Laurie Lawira

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Mwaka wa elimu una endelea kwa kasi ila, baadhi ya wanafunzi wanakabiliana na changamoto zaku jumuishwa.


Inakadiriwa kuwa mtoto mmoja kati yawatoto kumi wenye ulemavu, hawa saidiwi na shule za kawaida, licha ya shule hizo kuwa na jukumu lakutoa msaada wanao hitaji.

Kutengwa kwa wanafunzi hao, kuna zua wasi wasi iwapo, wazazi wana chaguo lolote kuhusu, jinsi watoto wao wanavyo fundishwa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now