Mwaka wa elimu una endelea kwa kasi ila, baadhi ya wanafunzi wanakabiliana na changamoto zaku jumuishwa.
Inakadiriwa kuwa mtoto mmoja kati yawatoto kumi wenye ulemavu, hawa saidiwi na shule za kawaida, licha ya shule hizo kuwa na jukumu lakutoa msaada wanao hitaji.
Kutengwa kwa wanafunzi hao, kuna zua wasi wasi iwapo, wazazi wana chaguo lolote kuhusu, jinsi watoto wao wanavyo fundishwa.
Share






