Chris: "Matokeo yote ya uchaguzi hubandikwa kwenye milango ya vituo vyakupigia kura"

Wakenya waelekea debeni

Wakenya warejea katika marudio ya uchaguzi wa urais 26Oktoba2017 Credit: Andrew Kilonzi

Wakenya kote duniani, wame elezea hisia zao zakuto ridhishwa na kasi yamatangazo ya matokeo ya uchaguzi wa urais.


Katiba ya Kenya ime ipa tume inayo simamia maswla ya uchaguzi nchini Kenya, siku saba baada ya siku ya uchaguzi mkuu, kuhesabu nakutangaza matokeo.

Hata hivyo wanao taka jua matokeo ya uchaguzi mkuu haraka, silazima wasubiri hadi mwenyekiti wa tume ya uchaguzi atoe tangazo rasmi.

Bw Chris ni msimamizi wa zamani wa uchaguzi nchini Kenya, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili alifichua siri ya sehemu ambako watu wanaweza pata matokeo ya uchaguzi walio shiriki. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service